National Development Plan
Browse by
Recent Submissions
-
Financial Sector Development Master Plan 2020-2021 2029-2030
(Ministry of Finance, 2020)Financial sector development is part of the Government strategy to stimulate economic growth and reduce poverty. In recognition of the importance of the financial sector, the Government has undertaken a number of reforms ... -
The Second Biennial Report on the Implementation of the Agenda 2063.
(Ministry of Finance and Planning, 2021)This Second Biennial Country Report on the implementation of Agenda 2063 of 2021 presents registered progress in priority areas of the aspirations. The report marks the cumulative eight years of implementing the First Ten ... -
Voluntary National Review (VNR)
(Ministry of Finance and Planning, 2019)It is my pleasure to present the Voluntary National Review (VNR) of the United Republic of Tanzania, constituted by the Mainland and Zanzibar, on the implementation of the Sustainable Development Goals. The process of ... -
Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019 -2020
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2019)Mheshimiwa Mwenyekiti, awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutujalia uhai na afya njema na kutuwezesha wabunge wote kukutana tena hapa Jijini Dodoma, kupokea mapendekezo ya ... -
Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023 -2024
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2022)Serikali inaendelea na utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26 wenye dhima ya Kujenga Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu. Mpango huo ni mwendelezo wa utekelezaji ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2017 - 2018
(Wizara ya Fedha, 2017)Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2017/18 ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21 na hivyo unaendelea kutekeleza maeneo manne ya kipaumbele ya: (i) Viwanda vya kukuza uchumi ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2018 - 2019
(Wizara ya Fedha, 2018)Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2018/19 ni wa tatu katika utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano, 2016/17 – 2020/21. Malengo mahsusi ya Mpango huu ni: (a) Kuendeleza kasi ya ukuaji wa uchumi kwa ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2012 - 2013
(Wizara ya Fedha, 2012)Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2012/13 unabainisha misingi, malengo, vipaumbele, mikakati ya utekelezaji, na changamoto zilizopo hivi sasa katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo. Aidha, Mpango umejikita katika ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023- 2024
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2023)Mpango wa Mwaka 2023/24 ni wa tatu katika utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, wenye dhima ya Kujenga Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu. Mpango huu ni ... -
Development Co-operation Framework, 2017
(Ministry of Finance and Planning, 2017)The Development Cooperation Framework (DCF) outlines Tanzania’s broad principles for development cooperation. It defines the overall objectives and principles surrounding the development partnership as well as the undertakings ... -
Tanzania Assistance Strategy, 2000
(Ministry of Finance and Planning, 2000)The TAS process began in 1995, following a period of difficult relations between Tanzania and her Development Partners and the subsequent adoption of the recommendations of the Helleiner Report on Development Cooperation ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2017 - 2018
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2017)Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2017/18 ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21 na hivyo unaendelea kutekeleza maeneo manne ya kipaumbele ya: (i) Viwanda vya kukuza ... -
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022 - 2023
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2022)Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022/23 ni wa Pili katika utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26 wenye dhima ya Kujenga Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu ... -
Mpango Wa Maendeleo Wa Taifa 2014 - 2015
(Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, 2014)Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2014/15 ni wa tatu katika mfululizo wa mipango ya kila mwaka ya kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16) ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025. ... -
Tanzania’s Progress Report on the Implementation of Agenda 2063 :
(Ministry of Finance and Planning, 2019)It is my pleasure to present the Progress Report on the implementation of Agenda 2063 in the United Republic of Tanzania (URT), covering seven years of the first Ten-Year Implementation Plan. This report documents policies, ... -
Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/2026
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2021)Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo ni nyenzo ya kuunganisha juhudi za Taifa katika kufikia malengo ya maendeleo yanayotarajiwa ya kijamii na kiuchumi ilizinduliwa mwaka 1999. Uzinduzi huo ulifuatiwa na hatua za maboresho ... -
Hotuba Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2022/23
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2021)Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu likae kama Kamati ya Mipango ili kupokea na kujadili mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ... -
Financing Strategy of the National Five-Year Development Plan 2021/22 – 2025/26
(Ministry of Finance and Planning, 2021)Realizing effective implementation of the prioritized interventions under The Third National Five-Year Development Plan (FYDP III) requires mobilizing a diverse range of public and private financial resources. This Financing ... -
Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa kwa mwaka 2013 - 2014
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2013)Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2013/14 ni ya pili katika mfululizo wa mipango ya kila mwaka ya kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2011/12-2015/16) ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa ... -
Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022/23
(Wizara ya Fedha na Uchumi, 2021)Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2021/22 umeandaliwa kwa mujibu wa Ibara ya 63 (3) (c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 na Sheria ya Bajeti, Sura 439. Mpango huu umeandaliwa kwa lengo la ...