Bajeti ya Serikali Toleo la Mwananchi 2025-26.

No Thumbnail Available

Date

2025-08

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya Fedha

Abstract

Bajeti ya Serikali ni mpango wa kifedha unaoandaliwa kwa kipindi cha mwaka mmoja unaoonesha mapato na matumizi yanayotarajiwa. Kupitia bajeti, Serikali huorodhesha vyanzo vya mapato vya ndani kama kodi na vyanzo vya mapato vya nje ikiwemo misaada na mikopo. Vilevile, Serikali hupanga kutumia mapato yatakayokusanywa kutoka katika vyanzo vyake vya mapato ili kugharamia utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi ikiwemo elimu, afya, maji na miundombinu ya barabara.

Description

Keywords

Bajeti ya Wananchi

Citation

Collections