Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2018/2019
Loading...
Date
2017
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Wizara ya Fedha na Mipango
Abstract
Mwongozo wa Mpango na Bajeti umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria ya Bajeti Na.11 ya Mwaka 2015 na Kanuni zake. Mwongozo wa Mwaka 2018/19 ni wa tatu katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21. Maandalizi ya Mpango na Bajeti yamezingatia: Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2015 ya Chama Tawala, Mpango wa Pili wa Maendeleo na Maelekezo ya Serikali.
Description
Keywords
Mwongozo wa Bajeti