Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2018/2019

Loading...
Thumbnail Image

Date

2017

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Wizara ya Fedha na Mipango

Abstract

Mwongozo wa Mpango na Bajeti umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria ya Bajeti Na.11 ya Mwaka 2015 na Kanuni zake. Mwongozo wa Mwaka 2018/19 ni wa tatu katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21. Maandalizi ya Mpango na Bajeti yamezingatia: Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2015 ya Chama Tawala, Mpango wa Pili wa Maendeleo na Maelekezo ya Serikali.

Description

Keywords

Mwongozo wa Bajeti

Citation