Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka,2008

dc.contributor.authorJamhuri ya Muungano wa Tanzania
dc.date.accessioned2024-03-18T09:07:54Z
dc.date.available2024-03-18T09:07:54Z
dc.date.issued2008
dc.description.abstractKatika mwaka 2008, Pato halisi la Taifa lilikua kwa kiwango cha asilimia 7 .4 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 7 .1 mwaka 2007. Ukuaji hu ulichangiwa zaidi na kuongezeka kwa viwango vya ukuaji katika shughuli za kiuchumi za kilimo; uvuvi; na huduma. Ukuaj i wa viwango vya juu ulijioneshakatika shughuli ndogo za kiuchumi za: mawasiliano (asilimia 20.5); fedha (asilimia 11.9); na uj enzi (asilimia 10.5). Hata hivyo, kiwango cha ukuaji katika shughuli za kiuchumi za viwanda na uj enzi kilipungua. Mchango wa shughuli za kiuchumi za huduma umeendelea kuongezeka katika mwaka 2008 ikilinganishwa na shughuli nyingine za kiuchumi.en_US
dc.identifier.urihttps://repository.mof.go.tz/handle/123456789/721
dc.publisherWizara ya Fedhaen_US
dc.subjectHali ya uchumien_US
dc.subjectVyazo vya mapatoen_US
dc.titleHali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka,2008en_US
dc.typeBooken_US

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka,2008.pdf
Size:
18.61 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:

License bundle

Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description: