Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/2026

dc.contributor.authorJamhuri ya Muungano wa Tanzania
dc.date.accessioned2023-05-23T16:13:32Z
dc.date.available2023-05-23T16:13:32Z
dc.date.issued2021
dc.description.abstractDira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambayo ni nyenzo ya kuunganisha juhudi za Taifa katika kufikia malengo ya maendeleo yanayotarajiwa ya kijamii na kiuchumi ilizinduliwa mwaka 1999. Uzinduzi huo ulifuatiwa na hatua za maboresho mbalimbali ya kisera, kitaasisi na kimfumo katika miaka ya 2000. Maboresho haya yalikuwa muhimu kutokana na hali ya kiuchumi ambayo Tanzania ilipitia katika miaka ya 1980 na 1990. Katika kipindi hicho, nchi ilikabiliwa na kiwango kidogo cha ukuaji wa uchumi, uhaba mkubwa wa bidhaa na huduma muhimu,mfumuko mkubwa wa bei, madeni makubwa na yasiyohimilika, na makusanyo madogo yamapato ya Serikali. Katika kukabiliana na hali hiyo, Serikali ilichukua hatua kadhaa za maboresho ya kiuchumi kabla ya kuzindua Dira ya Maendeleo ya Taifa na mpango uliungwa mkono na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) uliojulikana kama programu ya maboresho ya mfumo wa uchumi (The Enhanced Structural Adjustment Facility - ESAF).en_US
dc.identifier.urihttps://repository.mof.go.tz/handle/123456789/429
dc.publisherWizara ya Fedha na Mipangoen_US
dc.subjectUchumien_US
dc.subjectMpangoen_US
dc.subjectMpango wa Maendeleoen_US
dc.subjectHali ya Uchumien_US
dc.subjectUchumi wa Taifaen_US
dc.titleMapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/2026en_US
dc.typeBooken_US

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 202122 – 202526.pdf
Size:
1.71 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:
Swahili - Text

License bundle

Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description: