• EN/SW
  • LOGIN

Ministry of Finance

Repository

    View Item 
    •   MoF Repository
    • National Economic Survey
    • The Economic Survey
    • View Item
    •   MoF Repository
    • National Economic Survey
    • The Economic Survey
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Hali ya Uchumi wa Taifa 2023

    Thumbnail
    View/Open
    Swahili - Text (6.152Mb)
    Date
    2024-06
    Author
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Mwaka 2023, Pato halisi la Taifa lilifikia shilingi bilioni 148,399.76 kutoka shilingi bilioni 141,247.19 mwaka 2022, sawa na ukuaji wa asilimia 5.1 ikilinganishwa na asimilia 4.7 mwaka 2022. Ukuaji huo ulichangiwa na: jitihada mbalimbali zilizochukuliwa na Serikali ikiwemo mikakati ya kukabiliana na athari za vita kati ya Ukraine na Urusi pamoja na uwekezaji wa kimkakati katika miundombinu ya nishati, maji, afya, elimu na usafirishaji; kuongezeka kwa uzalishaji wa madini, hususan dhahabu na makaa ya mawe; na kuongezeka kwa mikopo kwa sekta binafsi iliyochachua shughuli za kiuchumi. Hata hivyo, kiwango cha ukuaji wa Pato la Taifa cha asilimia 5.1 mwaka 2023 kipo chini ya lengo la mwaka la asilimia 5.2. Hii ilitokana na: kupanda kwa gharama za uzalishaji katika baadhi ya sekta; mabadiliko ya tabianchi yaliyoathiri uzalishaji katika sekta ya kilimo kwa baadhi ya maeneo nchini na kuharibu miundombinu ikiwemo madaraja na barabara; pamoja na hatua zilizochukuliwa na nchi zilizoendelea katika kukabiliana na mfumuko wa bei zilizosababisha kuongezeka kwa gharama za mikopo kutoka masoko ya kimataifa ya fedha na hivyo kuathiri shughuli za uzalishaji.
    URI
    https://repository.mof.go.tz/handle/123456789/798
    Collections
    • The Economic Survey [29]

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository

    The repository is Designed and Developed by Ministry of Finance Content Maintained by Ministry of Finance

    Copyright © 2022 MoFP, All Rights Reserved.

     

    Browse

    MoF Repository Division & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository

    The repository is Designed and Developed by Ministry of Finance Content Maintained by Ministry of Finance

    Copyright © 2022 MoFP, All Rights Reserved.