• EN/SW
  • LOGIN

Ministry of Finance

Repository

    View Item 
    •   MoF Repository
    • National Economic Survey
    • The Economic Survey
    • View Item
    •   MoF Repository
    • National Economic Survey
    • The Economic Survey
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka 2022

    Thumbnail
    View/Open
    Swahili - Text (10.83Mb)
    Date
    2022
    Author
    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Mwaka 2022, thamani halisi ya Pato la Taifa ilifikia shilingi milioni 141,872,730 ikilinganishwa na shilingi milioni 135,478,189 mwaka 2021, sawa na ukuaji wa asilimia 4.7. Kiwango hicho cha ukuaji kilitokana na: mikakati iliyochukuliwa na Serikali kukabiliana na athari za vita nchini Ukraine; uwekezaji wa kimkakati katika miundombinu ya nishati, maji, afya, elimu, barabara, reli na viwanja vya ndege; kuongezeka kwamuzalishaji wa madini, hususan makaa ya mawe, jasi, chumvi, almasi, mawe ya chokaa na shaba; na kuongezeka kwa shughuli za utalii. Hata hivyo, kiwango cha ukuaji kilipungua kwa nukta ya asilimia 0.2 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 4.9 mwaka 2021 kutokana na athari ya vita kati ya Urusi na Ukraine iliyosababisha kupanda kwa gharama za uzalishaji katika baadhi ya sekta pamoja na mabadiliko ya tabianchi yaliyoathiri uzalishaji katika sekta ya kilimo kwa baadhi ya maeneo nchini. Aidha, sekta zilizokuwa na viwango vikubwa vya ukuaji mwaka 2022 ni pamoja na: sanaa na burudani iliyokua kwa asilimia 19.0; madini (asilimia 10.9); fedha na bima (asilimia 9.2); malazi na huduma ya chakula (asilimia 9.0) na umeme
    URI
    https://repository.mof.go.tz/handle/123456789/546
    Collections
    • The Economic Survey [29]

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository

    The repository is Designed and Developed by Ministry of Finance Content Maintained by Ministry of Finance

    Copyright © 2022 MoFP, All Rights Reserved.

     

    Browse

    MoF Repository Division & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository

    The repository is Designed and Developed by Ministry of Finance Content Maintained by Ministry of Finance

    Copyright © 2022 MoFP, All Rights Reserved.