Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025 - 2026

dc.contributor.authorJamhuri ya Muungano, Tanzania
dc.date.accessioned2025-01-29T09:31:23Z
dc.date.available2025-01-29T09:31:23Z
dc.date.issued2024-12
dc.description.abstractMwongozo wa Mpango na Bajeti umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria ya Bajeti, Sura 439. Mwongozo wa Mwaka 2025/26 ni wa mwisho katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 (TDV 2025) pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26. Maandalizi ya Mpango na Bajeti yamezingatia: Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi ya Mwaka 2020, Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, Makubaliano ya Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Agenda 2063 ya Maendeleo ya Afrika, Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030 na maelekezo mahsusi ya Serikali. Lengo la Mwongozo wa Mpango na Bajeti ni kutoa maelekezo kwa Maafisa Masuuli wote kuhusu mambo ya kuzingatia wakati wa maandalizi ya Bajeti ya mwaka 2025/26 .en_US
dc.identifier.urihttps://repository.mof.go.tz/handle/123456789/806
dc.publisherWizara ya Fedhaen_US
dc.subjectMwongonzo wa Bajetien_US
dc.subjectMpango wa Bajetien_US
dc.titleMwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025 - 2026en_US
dc.typeBooken_US

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2025.26.pdf
Size:
3.11 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:
Swahili - Text

License bundle

Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description: