Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023- 2024

dc.contributor.authorJamhuri ya Muungano wa Tanzania
dc.date.accessioned2023-07-13T11:09:38Z
dc.date.available2023-07-13T11:09:38Z
dc.date.issued2023
dc.description.abstractMpango wa Mwaka 2023/24 ni wa tatu katika utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, wenye dhima ya Kujenga Uchumi Shindani na Viwanda kwa Maendeleo ya Watu. Mpango huu ni mwendelezo wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 inayotekelezwa kupitia Mpango Elekezi wa Muda Mrefu, 2011/12 – 2025/26. Mpango huu ni muhimu katika kuainisha maeneo mahsusi ya vipaumbele kwa Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala wa Serikali, Taasisi na Mashirika ya Umma, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2023/24.en_US
dc.identifier.urihttps://repository.mof.go.tz/handle/123456789/545
dc.language.isoenen_US
dc.publisherWizara ya Fedha na Mipangoen_US
dc.titleMpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023- 2024en_US
dc.typeBooken_US

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023- 2024.pdf
Size:
2.49 MB
Format:
Adobe Portable Document Format
Description:
Swahili - Text

License bundle

Now showing 1 - 1 of 1
No Thumbnail Available
Name:
license.txt
Size:
1.71 KB
Format:
Item-specific license agreed upon to submission
Description: