Mapendekezo na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Mwaka
dc.contributor.author | Tanzania, United Republic | |
dc.date.accessioned | 2022-11-14T10:15:27Z | |
dc.date.available | 2022-11-14T10:15:27Z | |
dc.date.issued | 2022 | |
dc.identifier.uri | https://repository.mof.go.tz/handle/123456789/224 | |
dc.description.abstract | Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, Bunge lako Tukufu likae kama Kamati ya Mipango ili kupokea na kujadili Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2023/24. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutujalia uhai na afya njema na kutuwezesha kukutana ili kuwasilisha na kujadili Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2023/24. | en_US |
dc.language.iso | other | en_US |
dc.publisher | Wizara ya Fedha na Mipango | en_US |
dc.subject | Mwongozo wa Bajeti | en_US |
dc.title | Mapendekezo na Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali na Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Mwaka | en_US |
dc.type | Technical Report | en_US |
Files in this item
This item appears in the following Collection(s)
-
Budget Guideline [17]