Search
Now showing items 1-10 of 13
The Economic Survey 2011
(Ministry of Finance and Planning, 2011-08)
In 2011, real Gross Domestic Product (GDP) grew by 6.4 percent
compared to 7.0 percent in 2010. The slowdown in growth was a result of
drought in different parts of the country, which affected agricultural sector and
power ...
The Economic Survey 2012
(Ministry of Finance and Planning, 2012-08)
In 2012, real Gross Domestic Product (GDP) grew by 6.9 percent
compared to 6.4 percent in 2011. The growth was a result of improved
transport and communication infrastructures; improved industrial production
following ...
The National Economic Survey 2010
(Ministry of Finance and Planning, 2011-08)
In 2010, the real GDP grew by 7.0 percent compared to 6.0 percent in 2009. This growth resulted from increased growth rates in economic activities that have substantial contribution to GDP including agricultural; trade and ...
Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2015
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2015)
Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019
(2019)
Pato halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 7.0 mwaka 2019 kama ilivyokuwa mwaka 2018. Ukuaji huu ulitokana na kuendelea kuimarika kwa sekta ya madini, kuboreshwa kwa huduma za usafiri na usafirishaji, pamoja na utekelezaji ...
Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2021
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2022)
Mwaka 2021, thamani halisi ya Pato la Taifa ilifikia shilingi milioni 135,517,812.70 ikilinganishwa na shilingi milioni 129,130,182.02 mwaka 2020, sawa na ukuaji wa asilimia 4.9 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 4.8 ...
Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2020
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2021)
Mwaka 2020, Pato la Taifa lilikua kwa asilimia 4.8 ikilinganishwa na asilimia 7.0 mwaka 2019. Kupungua kwa kasi ya ukuaji kulitokana na: mvua zilizozidi wastani ambazo zilisababisha uharibifu wa miundombinu ya usafirishaji ...
Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2019)
Mwaka 2018, Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilifanya maboreshoya takwimu za Pato la Taifa kwa kutumia mwaka 2015 kama mwaka wa kizio kutoka mwaka wa kizio wa 2007. Kufuatia maboresho hayo, mabadiliko kadhaa ...
Hali ya Uchumi wa Taifa Katika Mwaka 2022
(Wizara ya Fedha na Mipango, 2022)
Mwaka 2022, thamani halisi ya Pato la Taifa ilifikia shilingi milioni 141,872,730 ikilinganishwa na shilingi milioni 135,478,189 mwaka 2021, sawa na ukuaji wa asilimia 4.7. Kiwango hicho cha ukuaji kilitokana na: mikakati ...
Taarifa ya Hali ya Uchumi 2008 na Malengo katika Kipindi cha Muda wa Kati 2009 - 2012
(Wizara ya Fedha na Uchumi, 2008)
Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako Tukufu sasa likae kama Kamati ili liweze kupokea na kujadili Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa katika kipindi cha mwaka 2008 na malengo katika kipindi cha Muda wa Kati ...