• EN/SW
  • LOGIN

Ministry of Finance and Planning

Repository

    View Item 
    •   MoFP Repository
    • National Economic Survey
    • Books
    • View Item
    •   MoFP Repository
    • National Economic Survey
    • Books
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Kitabu cha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2018

    Thumbnail
    View/Open
    Swahili-Full Text (3.049Mb)
    Date
    2019
    Author
    Tanzania, United Republic
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Mwaka 2018, Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilifanya maboreshoya takwimu za Pato la Taifa kwa kutumia mwaka 2015 kama mwaka wa kizio kutoka mwaka wa kizio wa 2007. Kufuatia maboresho hayo, mabadiliko kadhaa yalijitokeza ikiwemo mfumo na ukubwa wa Pato la Taifa; viwango vya ukuaji na mchango wa sekta mbalimbali katika Pato la Taifa; na uwiano wa viashiria mbalimbali kwa Pato la Taifa. Maelezo ya kina kuhusu maboresho hayo yako katika sura ya kumi. Kutokana na zoezi hilo, kuanzia toleo hili takwimu zitakazotumika zitakuwa za mwaka wa kizio wa 2015. Kwa mujibu wa takwimu mpya za mwaka wa kizio wa 2015, Pato halisi la Taifa lilikua kwa asilimia 7.0mwaka 2018 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.8 mwaka 2017. Ukuaji huu ulichochewa zaidi na kuongezeka kwa uwekezaji hususan katika miundombinu kama vile ujenzi wa barabara, reli, na viwanja vya ndege; kutengemaa kwa upatikanaji wa nishati ya umeme; kuimarika kwa huduma za usafirishaji; na hali nzuri ya hewa kwa ajili ya kilimo. Sekta zilizokuwa na viwango vikubwa vya ukuaji ni pamoja na: sanaa na burudani iliyokua kwa asilimia 13.7; ujenzi (asilimia 12.9); uchukuzi na uhifadhi mizigo (asilimia 11.8); na habari na mawasiliano (asilimia 9.1).
    URI
    http://repository.mof.go.tz/handle/123456789/166
    Collections
    • Books [10]

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance and Planning

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository

     

    Browse

    MoFP Repository Division & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjects

    My Account

    LoginRegister

    Contact Us

    The United Republic of Tanzania

    Ministry of Finance and Planning

    Treasury Square Building 18 Jakaya Kikwete Road

    P.O.BOX 2802,40468 Dodoma.

    Email Address: library@hazina.go.tz

    Phone: +255 26 2160000

    Related Links

    IFM Repository
    CBE Repository
    IRDP Repository
    TIA Repository
    EASTC Repository