Browsing by Author "Jamhuri ya Muungano, Tanzania"
Now showing 1 - 3 of 3
- Results Per Page
- Sort Options
Item Hotuba ya Mhe. Waziri wa Fedha Akiwasilisha Mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti Ya Serikali Kwa Mwaka 2024/2025(Wizara ya Fedha, 2024-03) Jamhuri ya Muungano, TanzaniaMheshimiwa Mwenyekiti, napenda kutumia nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema na kuniwezesha kuwasilisha mbele ya Bunge lako Tukufu Mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2024/2025.Item Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025 - 2026(Wizara ya Fedha, 2024-12) Jamhuri ya Muungano, TanzaniaMwongozo wa Mpango na Bajeti umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria ya Bajeti, Sura 439. Mwongozo wa Mwaka 2025/26 ni wa mwisho katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 (TDV 2025) pamoja na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26. Maandalizi ya Mpango na Bajeti yamezingatia: Ilani ya CCM kwa ajili ya Uchaguzi ya Mwaka 2020, Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, Makubaliano ya Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Agenda 2063 ya Maendeleo ya Afrika, Malengo ya Maendeleo Endelevu 2030 na maelekezo mahsusi ya Serikali. Lengo la Mwongozo wa Mpango na Bajeti ni kutoa maelekezo kwa Maafisa Masuuli wote kuhusu mambo ya kuzingatia wakati wa maandalizi ya Bajeti ya mwaka 2025/26 .Item Taarifa Fupi ya Kisera 2020(Wizara ya Fedha, 2022) Jamhuri ya Muungano, TanzaniaChapisho hili linatoa matokeo ya utafiti wa ufanisi wa mifuko na programu za serikali za uwezeshaji wananchi kiuchumi zinazolenga wajasiriamali wadogo na wakati. Utafiti ulifanywa kubainisha mifuko na programu zilizopo, malengo yake, huduma zitole wazo na changamoto za kufikia malengo.