Laws
Permanent URI for this communityhttps://repository.mof.go.tz/handle/123456789/301
Browse
Browsing Laws by Author "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Now showing 1 - 10 of 10
- Results Per Page
- Sort Options
Item Kanuni za Matumizi ya Fedha za Kigeni za mwaka 2025.(Wizara ya Fedha, 2025-05) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKanuni hizi zitajulikana kama Kanuni za Matumizi ya Fedha za Kigeni za mwaka 2025.Item Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo za Fedha Vya Kijamii) la Mwaka,2019(Wizara ya Fedha, 2019) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKanuni Za Huduma Ndogo Za Fedha (Vikundi Vya Huduma Ndogo Za Fedha Vya Kijamii),Item Kanuni za Marekebisho Ya Kanuni za Tozo ya Miamala ya Fedha ya Kielekitroniki za Mwaka,2022(Wizara ya Fedha, 2022) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMarekebisho ya Kanuni za Tozo ya Miamala ya Fedha ya Kielektroniki za Mwaka,2022Item Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Watoa Huduma Ndogo za Fedha Wasiopokea Amana) la Mwaka,2019(Wizara ya Fedha, 2019) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaToleo hili la Kanuni za Huduma Ndogo za Fedha (Watoa Huduma Ndogo za Fedha Wasiopokea Amana) la Mwaka 2019, ni Tafsiri Rasmi iliyosanifiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa mujibu wa kifungu cha 84 cha Sheria ya Tafsiri ya Sheria, Sura ya 1.Item Kanuni za Msamaha wa Riba ya Malimbikizo ya Kodi ya Pango la Ardhi za (Sura Ya 113) (Zimetengenezwa chini ya vifungu vya 33 (14) na 179),2022(Wizara ya Fedha, 2022) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKanuni za Msamaha wa Riba ya Malimbikizo ya Kodi ya Pango la Ardhi za Mwaka Sheria ya Ardhi, (Sura Ya 113) (Zimetengenezwa chini ya vifungu vya 33 (14) na 179),2022Item Kanuni za Usimamizi wa Mali za Umma za Mwaka, 2024(Wizara ya Fedha, 2024-05) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaKanuni za Usimamizi wa Mali za Umma za Mwaka, 2024Item Muswada wa Sheria ya Tume ya Mipango wa Mwaka, 2023(Wizara ya Fedha, 2023-05) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSheria hii itajulikana kama Sheria ya Tume ya Mipango ya mwaka 2023 na itaanza kutumika tarehe ambayo Waziri ataainisha kupitia notisi katika Gazeti la Serikali.Item Muswada wa Sheria ya Ununuzi wa Umma wa Mwaka, 2023(Wizara ya Fedha, 2023-05) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSheria ya kuweka masharti bora ya usimamizi wa ununuzi wa umma na ugavi, kufuta Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2011 na kutunga upya Sheria ya Ununuzi wa Umma na masuala mengine yanayohusiana na hayo.Item Muswada wa Sheria ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi wa Mwaka, 2024.(Wizara ya Fedha, 2024-11) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSheria ya kuweka masharti ya uendelezaji wa uwekezaji Tanzania, kuweka masharti ya mazingira bora kwa wawekezaji, kuweka mfumo wa kitaasisi kwa ajili ya uratibu, ulinzi, uvutiaji, uhamasishaji na uwezeshaji wa uwekezaji nchini, kuweka utaratibu wa uanzishaji, uendelezaji na usimamizi wa maeneo maalumu ya kiuchumi, kufuta Sheria ya Uwekezaji Tanzania, 2022, Sheria ya Maeneo Maalumu ya Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje, 2002 na Sheria ya Maeneo Maalumu ya Uwekezaji, 2006 na masuala yanayohusiana na hayo.Item Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma wa Mwaka, 2023(Wizara ya Fedha, 2023-10) Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSheria ya kuweka masharti ya uwekezaji wa umma, mfumo wa kitaasisi kwa ajili ya uratibu na usimamizi wa uwekezaji wa umma, usimamizi wa mashirika ya umma, kufuta Sheria ya Mamlaka na Majukumu ya Msajili wa Hazina, na masuala yanayohusiana na hayo.